abiri maana na matumizi(kwa Kiswahili)

Yaliyomo

    1. abiri (abiria, abirika, abirisha)

    • safiri kwa chombo cha majini kutoka upande mmoja wa mto, ziwa au bahari hadi upande mwingine Tuliabiri bahari kwa meli.
    • ingia chombo cha kusafiri kwa mfano basi, meli, mashua na kadhalika

    2. abiri (abiria, abirika, abirisha, abiriwa)

    • toa maelezo ya kitu kwa usahihi na kwa kueleweka vyema
    • eleza jambo litakalotokea kabla ya kutokea kwake

    3. abiri (abiria, abiriana, abirisha)

    • pata fundisho kutokana na jambo fulani

    Abiri kwa Kiingereza

    cross (river or lake or sea). go (i.e. travel as a passenger). pass over. travel (as passenger). travel (by sea).

    Herufi za Alfabeti

    Chagua herufi ili kuona maneno ya Kiswahili yanayoanza na herufi hiyo.

    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z