Swahili24.com
abiri
maana na matumizi(kwa Kiswahili)
1.
abiri (abiria, abirika, abirisha)
safiri kwa chombo cha majini kutoka upande mmoja wa mto, ziwa au bahari hadi upande mwingine
Tuli
abiri
bahari kwa meli.
ingia chombo cha kusafiri kwa mfano basi, meli, mashua na kadhalika
2.
abiri (abiria, abirika, abirisha, abiriwa)
toa maelezo ya kitu kwa usahihi na kwa kueleweka vyema
eleza jambo litakalotokea kabla ya kutokea kwake
3.
abiri (abiria, abiriana, abirisha)
pata fundisho kutokana na jambo fulani
Translation in english
cross (river or lake or sea). go (i.e. travel as a passenger). pass over. travel (as passenger). travel (by sea).
<< Neno Lililotangulia
(abee!)
Neno Lifuatalo >>
(abiria)
English
Kiswahili
© 2023 Swahili24.com